Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SAKATA LA BEKI KESSY BADO KIZUNGUMKUTI,YANGA WASHINDWA KUTOKEA KWENYE KIKAO.



Image result for ramadhani kessy 
SAKATA la beki Hassan Kessy limeendelea kuvuta hisia za wadau wengi wa soka hapa nchini baada ya Kamati ya katiba,Sheria na Hadhi za Wachezaji kusogeza mbele tarehe za kusikiliza kesi yake hadi Septemba 4 mwaka huu.

Kesi hiyo imesogezwa mbele kutoka na wajumbe wa Klabu ya soka ya Yanga kutotokea katika kikao ambacho kamati hiyo iliketi kujadili sakata lao hilo huku wajumbe hao wakitakiwa kuwepo katika kikao kilichofanyika Jumatatu hii.

Alfred Lucas msemaji wa TFF amesema wataiandikia barua klabu ya Yanga kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao hicho kitakachofanyika Septemba 4 mwaka huu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget