
Klabu ya soka ya Liverpool imethibitisha kuwa na
matumaini ya kumtoa kwa mkopo mchezaji wao Mario Balotelli kuelekea katika
klabu ya Nice inayoshiriki ligi kuu nchini Ufaransa.
Mchezaji huya wa klabu ya zamani ya Manchester City alikosa
mazoezi jumanne iliyopita na ni wazi kuwa sasa ataweza kwenda katika klabu hiyo
inayokipiga katika Ligue 1.
Lakini Liverpool bado haijakubaliana kumtoa mchezaji
huyo kwenda Nice lakini mzungumzo bado yanaendela kuhakikisha wanafikia
makubaliano.
Post a Comment