Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HART ATOA YAKE YA MOYONI KUHUSU MAN CITY.



Image result for JOE HART 
MLINDA mlango wa Manchester City, Joe Hart amesema kuisaidia timu hiyo kutinga hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya katika mchezo ambao unaweza kuwa wa mwisho kwake kuitumikia klabu hiyo, ni jambo ya kipekee.

Akihojiwa mara baada ya mchezo huo ambao City walizonga mbele kwa jumla ya mabao 6-0, Hart amesema wana meneja bora ambaye atakuwa na mawazo tofauti katika maamuzi yake.

Hart ambaye anategemewa kuondoka kufuatia Claudio Bravo kukaribia kukamilisha usajili wake, alikuwa akipigiwa kelele na mashabiki wakati wote wa mchezo huo wa marudiano ambao City ilishinda bao 1-0 dhidi ya Steaua Bucharest.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget