Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BUKU SABA TU MWANANGU KUWASHUHUDIA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA.



Image result for mechi ya simba na yanga video 

Maandalizi ya mchezo wa kukata na shoka wa watani wa jadi kati ya klabu ya soka ya Simba dhidi ya Yanga yameendelea kushika kasi huku tiketi za mchezo huo zikitamzamiwa kuanza kuuzwa Jumatano hii katika vituo mbalimbali hapa nchini.

Mchezo huo wa mzunguko wa Sita unatarajiwa kupigwa katika dimba la uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam Jumamosii huku Afrika Mashariki ikitazamiwa kusimama kwa muda kutokana na uzito wa mchezo wenyewe.

Afisa habari wa Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF ALFRED LUCAS amesema kuwa wameanza kuuza tiketi hizo mapema kutokana na kuwapa fursa watanzania kuweza kununua tiketi zao mapema ukizingati mchezo huo utaanza kwa kutumia tiketi za mfumo wa Eletroniki.

Naye Galus Lyeta ambaye ni Meneja miraji wa kampuni ya Selcom alikuwa na haya ya kuelekezea kuhusu matumizi ya mfumo huo kuelekea katika mchezo huo wa watani wa jadi.

Kiingilio cha chini katika mchezo huo kitakuwa ni Sh. 7000 kwa viti vya kwaidia VIP A 30,000 VIP B 20,000

 

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget