Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KIKOSI CHA AZAM FC KUFUMULIWA TENA UPYA.



Image result for AZAM FC 
Klabu ya soka ya Azam FC imerejea jijini Dra es Salaam tayari kujiandaa tena na mchezo unaofata wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kutoka Mkoani Mtwara.

Azama FC ilikuwa Mtwara kucheza mchezo wake dhidi ya Ndanda Fc huku ikishuhudiwa Azam ikikubali kipigo cha mabao 2-1 na kuendeleza rekodi mbovu tangu ligi hiyo iianze.

Afisa habari wa Azam Fc Jafary Idd amesema kilichotokea Mtwara ni sehemu ya mchezo tu kwa upande wao na kuwataka mashabiki kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho kocha mkuu wa timu hiyo anayafanyika kazi makosa madogo madogo ndani ya klabu yao.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget