Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MANE AZIDI KUONEKANA BORA ULAYA.

Image result for SAIDO MANE

Kiungo mpya wa klabu ya soka ya Liverpool's Sadio Mane amezidi kuingeza thamani yake ndani ya klabu ya Anfield baada ya kutua klabuni hapo.

Mchezaji huyo raia wa nchini Senegal amejiunga na klabu hiyo akitokea Southampton kwa kitita cha £30million msimu huu na amekuwa mchezaji ghali zaidi kutoka Afrika na kuweka historia kwa nchi ya Afrika.

Mane's mwenye umri wa miaka 24 alizidi kuongeza uimara wake toka alipokutana na klabu ya Arsenal katika ufunguzi wa Ligi hiyo msimu huu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget