Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

XHAKA AFURAHIA KUDONDOKA ARSENAL.

Image result for granit xhaka

Kiungo mpya wa klabu ya soka ya Arsenal's Granit Xhaka amesema kuwa kwa siku chache alizotua ndani ya klabu hiyo amezidi kujifunza zaidi mambo makubwa.

The Gunners walimtwaa mchezaji huyo mwenye miaka 23 kwa kitita cha £30m baaada ya michuano ya Euro 2016 kumalizika nchini Ufaransa.

Xhaka amesema baada ya kutua kunako katika klabu hiyo na kuungana na wachezaji kama Ozil, Sanchez na Cazorla ni mfano mkubwa kwake na ni njia moja wapo kwa upande wake kujifunza zaidi katika soka lake.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget