Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MESSI KUONGEZA MKATABA MPYA BARCELONA.

Image result for MESSI

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona Lionel Messi anaweza akasaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo kwa msimu huu mpya wa ligi.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo Robert Fernandez amesema Messi's mkataba wake unamalizika msimu wa mwaka 2017-18 na anaweza akaongeza mkataba mpya msimu huu.

Klabu ya Barcelona tayari imeshawaongezea mikataba mipya wachezaji wake Neymar, Rafinha, Sergio Busquets na Javier Mascherano, na Fernandez amesisistiza kuwa  Messi naye atafuata nyayo za wenzake.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget