Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MBEYA CITY KUANZA MATIZI LEO HII KUWASUBIRI AZAM JUMAMOSI.



Image result for mbeya city 
BAADA ya safari ndefu ya saa kadhaa, kikosi cha Mbeya City Fc tayari kimewasili jijini Mbeya kujiwinda na mchezo ujao wa ligi kuu soka Tanzania  bara dhidi ya Azam Fc uliopangwa kuchezwa mwishoni mwa juma hili kwenye uwanja wa Sokoine.

Kocha wa timu hiyo Kinnah Phiri ameamua kuwapa mapumziko ya siku moja wachezaji wake ili waweze kupumzika kutokana na uchovu wa safari ndefu na leo wameingia kwenye uwanja wa Sokoine  kuanza mazoezi ya matayarisho ya mchezo huo wa jumamosi.

Kwenye michezo mitatu iliyopita  City  ilifanikuwa kuibuka na pointi  7, kufuatia suluhu ya bila kufungana na Kagera Sugar na baadae kuiadhibu Toto Africans bao 1-0 na mwisho kuhitimisha kwa kuifunga Mbao Fc  bao 4-1 na kushika  usukuni wa ligi kuu ya soka Tanzania bara.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget