Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS KWA NGAZI YA TAIFA YAANZA RASMI LEO HII.



Image result for MICHUANO YA AIRTEL 
Michuanao ya Airtel Rising Stars imefunguliwa Rasmi Jumanne hii kwa ngazi ya Taifa huku ikishuhudiwa timu za wasichana kwa wanaume wenye umri chini ya miaka 17 zikishuka dimbani kupambana.

Afisa Mahusianao wa kampuni ya Airtel Jane Matinde amesema kwa upande wao wanajuvunia sana kuendeleza vipaji hivyo vya watoto na kuvifanya kuonekana kwa makocha mbalimbali hapa nchini na kuwafanya vijana hao kutimiza ndoto zao za kucheza soka.


Kwa upande wake kocha wa timu ya wasichana kutoka Lindi Shaibu Issa amesema kwa upande wao ni mara ya kwanza kushiriki katika michuano hiyo na kupoteza mchezo wao dhidi ya timu ya Arusha kumewapa somo zaidi la kujua mbinu mbalimbali za michuano hiyo.
 
Nao wachezaji wa timu hiyo ya lindi ambao leo hii walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Arusha wamesema ugeni wao ndi chazo cha wao kupoteza mchezo huo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget