Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

PRESHA YAZIDI KUTANDA KUELEKEA KATIKA MCHEZO WA WATANI WA JADI.



Image result for SIMBA NA YANGA 

Kuelekea katika mchezo wawatani wa jadi kati ya klabu ya soka ya Simba dhidi ya Yanga mashabiki wa klabu ya soka ya Yanga wamefunguka na kuelezea mwenendo wa klabu yao kabla ya mchezo wao huo.

Mashabiki hao wamesema kuwa pamoja na kupoteza mchezo uliopita dhidi ya klabu ya Stand United kwa kutandikwa bao 1 kwa nunge wamesema kuwa kuelekea katika mchezo wao lazima wataifunga klabu ya soka ya Simba.

Mchezo wa watani wa jadi huo unatarajiwa kupigwa katika dimba la uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam jumamosii huku macho na masiki ya wapenzi wa soka nchini na nje ya nchi yakielekea katika kipute hicho.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget