Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ZFA YAPANIA LIGI KUU VISIWANI ZANZIBAR.



Image result for LIGI KUU VISIWANI ZANZIBAR 
Kamati ya mashindano ya chama cha soka visiwani Zanzibar ZFA ipo katika maandalizi ya mwisho ya ligi kuu ya soka visiwani humo kwa msimu wa 2016/17 ambao umepangwa kuanza kutimua vumbi mwanzoni mwa mwezi ujao.

Katibu mkuu wa ZFA Kassim Hadji Saloum amesema kwa sasa kamati ya mashindano inakamilisha baadhi ya taratibu za mwisho ambazo zitatyoa taswara tofauti ya mshike mshike wa ligi ya msimu huu ambao bado utashuhudia ligi ikichezwa katika kanda ya Unguja na Pemba kabla ya kuingia kwenye hatua ya fainali.

Hata hivyo KAssim Hadji Saloum ametoa wito kwa wadau wa soka wa ndani nan je ya Zanzibar kujitokeza kwa ajili ya kudhamini ligi hiyo ambayo wakati mwingine imekua ikikosa msisimko kutokana na ukata wa fedha.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget