Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

CAZOLRA AFURAHIA KUBAKI ARSENAL.



 

Kiungo wa klabu ya soka ya Arsenal Santi Cazorla amesema anapenda kuendelea kubaki kunako katika klabu hiyo lakini anasubiri kuona kama atapewa mkataba mpya.

Cazorla, mwenye miaka 31, yupo huru kuongea na klabu nyingine yoyote mwezi January wakati mkataba wake unakaribia kuisha mwishoni mwa msimu huu.

Lakini raia huyo wa nchini Hispania amebainisha nia yake ya kutaka kuendele kubaki klabuni hapo na kupewa mkataba mwingine.

Cazorla alijiunga na Arsenal akitokea Malaga mwaka 2012 na amefunga mabao 29 mara zote katika mashindo 177 aliyocheza.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget