Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MOURINHO ASEMA WACHEZAJI WAKE WATAFANYA MAAJABU HIVI KARIBUNI TUU.



Jose Mourinho celebrates after the match 
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa wachezaji wake wataonyesha maajabu hivi karibuni ya kufanya vyema kwa mashabiki na kuifanya klabu yao kuwa moja ya klabu inayofanya vyema zaidi.

Bisi huyo wa Old Trafford ameita kikosi cha wachezaji 26 katika msimu huu lakini wachezaji wake wamekuwa katika wakati mkgumu zaidi katika msimu huu.

Mchezaji wake Matteo Darmian hayupo katika hali nzuri, Morgan Schneiderlin bado hajarea kucheza katika ligi hiyo huku mchezaji Memphis akicheza dakika 88 pekee katika kikosi chao.

Lakini Mourinho amesema anahitaji muda zaidi kuona wachezaji wake wakicheza na kuwafahamu zaidi wachezaji wake na anaimani ataleta maajabu hivi karibuni.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget