Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SHIME:WATANZANIA HAINA MAANA KUIPOKEA SERENGETI BOYS IKITWAA UBINGWA KAMA HAMUISAPOTI.



Image result for BAKARI SHIME 
WITO umetolewa kwa watanzania wote kuhakikisha wanaiunga mkono timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana umri chini ya 17 katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya timu ya vijana ya nchini Congo mchezo utakaopigwa Septemba 18 mwaka huu.

Haya yamesemwa na kocha Mkuu wa Timu hiyo Bakari Shime kuelekea katika mchezo wao huo huku pia timu hiyo ikijiandaa na kuelekea nchini Shelisheli kuweka kambai ya muda mrefu kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo.

Shime amesema kwenda kuipokea timu hiyo ikirudi na ubingwa haina maana sana zaidi ya kuisapoti timu hiyo katika mchezo huo hasa ukizingatia ikifanikiwa kuitoa timu hiyo inakuwa imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu hatua inayofuata.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget