Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

WALKER AJITIA KITANZI ZAIDI SPURS.



 
MCHEZAJI Kyle Walker leo amesaini mkataba mrefu wa kuendeleea kubaki katika klabu yake ya Tottenham.

Mchezaji huyo raia wa nchini England anachezea beki ya kulia amesaini mkataba huo mpya akitokea kunako katika klabu ya Sheffield United mwaka 2009, na amejifunga kitanzi hicho na kuwa mchezaji wa wa mwisho katika klabu hiyo kufanya hivyo.

Walker sasa anaongozana na wachezaji wengine Christian Eriksen, Dele Alli, Eric Dier na Danny Rose kusaini mkataba mpya klabu hapo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget