Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

DRAXLER NA KHEDIRA WAIDIDIMIZA NORTHERN IRELAND.



Northern Ireland defender Gareth McAuley challenges Thomas Muller of Germany 
Magoli la kipindi cha kwanza yaliyofungwa na Julian Draxler na Sami Khedira yalitosha kuipa ushindi timu ya Ujerumani walipocheza na Northern Ireland katika mchezo wa kuwania kufuzu kombe la dunia mwaka 2018.

Draxler alifunga goli lake la kwanza mnamo dakika ya 13 ya mchezo akipiga mpira mzuri uliojaa wavuni akiwa katika kilinge cha kupigia kona.

Huku Khedira akifunga bao lake la pili baada ya dakika 4 baadae baada ya Mats Hummels kuangushwa karibu na lango la goli.

Northern Ireland wapo katika nafasi ya tatu katika kundi lao wakiwa wanaalama 4 wakati Ujerumani wakiwa wanaongoza kundi lao baada ya kushinda michezo mitatu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget