Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MKWASA KUENDELEA NA ZIARA YAKE HII LEO YA KUSAKA VIPAJI.



Image result for mkwasa 
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Charles Boniface Mkwasa amesema anaamini ziara za kusaka vipaji vipya mikoani zitasaidia kukidhi hitaji la kuwa na wachezaji watakaounda kikosi bora.

Mkwasa amesema hatobagua wachezaji kwa kuzingatia ligi kuu ama ligi daraja la kwanza, bali atafanya kazi hiyo kwa uwezo na wigo mpana wa kuwafuatilia wachezaji wenye vigezo anavyo vihitaji.

Amesema kwa siku ya leo anaendelea na ziara ya kutafuta vipaji katika mchezo wa Yanga na Mtibwa kabla ya kuondoka siku ya Kesho kuelekea kibaha kutazama mchezomwingine wa ligi kuu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget