Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

FARID MUSA ASEMA ANAENDELEA KUVUTA SUBIRA TENARIFE.



Image result for farid musa 

Kiungo mshambuliaji wa mabingwa wa soka Afrika mashariki na kati Azam FC Farid Mussa Malik ambaye amepelekwa kwa mkopo nchini Hispania kwenye klabu ya Deportivo Tenarife  amesema hana budi kuendelea kufanya subra ya safari yake ya mafanikio.

Farid ambaye bado yupo nchini akifanya mazoezi na wachezaji wa Azam FC amesema anaamini ndoto zake za kucheza nje ya nchi zimeshatimia, lakini changamoto za kukamilisha safari ya kwenda nchini Hispania zimekua kikwazo lakini bado anaamini ataondoka wakati wowote

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget