Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLABU YA SIMBA YAMUOMBA RADHI RAIS MAGUFULI.



Image result for MAGUFULI

Klabu ya soka ya Simba imemuomba radhi rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania dkt. John Pombe Magufuli kupitia wizara ya habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo baada ya mashakiki wa klabu hiyo kufanya uharibifu katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari katika makao Makuu ya klabu hiyo Mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano cha klabu ya soka ya Simba Hajji  Manara amesema kilichofanywa na mashabiki wao wanakilaani vikari na kuomba radhi wa rais Magufuli kwa kitendo hicho.
 
MANARA pia ametaja kamati mpya mashindano ya klabu hiyo kwa msimu huu mpya ligi kuu soka Tanzania bara nakueleza kupendezwa na ufanyaji kazi wa watu waliopo kwenye kamati hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget