Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

YANGA KUTAKIWA KUMLIPA TEGETE NA WENZAKE.



Image result for tegete yanga 
SHIRIKISHO la soka nchini Tanzania TFF limekiandikia cha cha cha kutetea Shria na haki za wachezaji nchini Sputaza juu ya kufanya uchaguzi mkuu wa viongozi wake.

Obedi Kasablala ambaye ni katibu Mkuu wa Sputaza amesema kwa sasa wanachokifanya ni kuendelea kufanya chaguzi za mikoa kabla ya kufanya uchauzi mkuu wa chama hicho.

Kwa upande mwingine Kasaballa ameelezea jinsi walivyofanikiwa kwa mwaka huu kutetea haki za wachezaji ambazo tayari hukumu zake zimeshatolewa huku klabu zilizoshitakiwa zikitakiwa kulipa madeni yao kwa wachezaji husika ikiwemo klabu ya soka ya Yanga.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget