Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

RONALDO AZIDI KUFANYA YAKE SAFARI HII ATUPIA NNE.



Image result for ronaldo vs andorra 
Nyota wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amesema amefurahi kuanza tena kuisaidia timu hiyo baada ya kufunga mabao manne katika ushindi wa mabao 6-0 waliopata dhidi ya Andorra jana.

Akihojiwa Ronaldo amesema walifahamu kuwa bao la kuongoza lilikuwa muhimu kwa timu hiyo ambayo ilikuwa ikijihami sana hivyo amefurahi kufanikisha hilo na kupelekea kupata ushindi mnono.

Mabao hayo manne aliyofunga Ronaldo yamemfanya kufikisha mabao 65 katika mechi za kimataifa na anaweza kuongeza mengine zaidi wakati watakapovaana na Visiwa vya Faroe kesho kutwa kwenye mchezo mwingine wa kundi B.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget