Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SIMBA KUANZA KUTALII WA NJE YA MKOA WA DAR ES SALAAM SASA KUWAFATA PRISONI YA MBEYA.



Image result for kikosi cha simba MECHI YA JUZI 
Klabu ya soka ya Simba imepanga kuondoka mapema jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wake dhidi ya Tanzania Prison mapema wiki ijayo.

Akizungumza na waandishi wa habari Afisa habari wa klabu ya simba Hajji Manara amesema kuwa wanasubiri taarifa kutoka kwa kocha wao Joseph Omog kuona jinsi gani wanaweza kuondoka.

Katika mechi saba zilizopita, Simba imeshinda tano na kutoka sare mbili hivyo kuifanya iendelee kukaa kileleni ikiwa imejikusanyia pointi 17 kibindoni na kufanya izidi kuongoza Ligi Kuu soka Tanzania Bara na sasa kinaanza rasmi kucheza mechi za mikoani.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget