Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TFF YASEMA HAITAMBUI KUHUSU MKATABA WA KUKODISHWA KWA KLABU YA YANGA.

Image result for MWESIGWA KUHUSU YANGA 
Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limesema kuwa halitambua mkataba uliosainiwa na klabu ya Yanga kuhusu kukodishwa kwake na kuiandikia barua klabu hiyo kupelekea nakala ya kopi ya mkataba huo.

Akizungumza na waandishi wa habari Katibu Mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa amesema kuwa klabu hiyo wameiandikia barua ili kupewa nakala ya mkataba huo na kuona ni namna gani klabu hiyo itakuwa ikiendeshwa.

Mwesegwa amesema kuwa kumekuwa na minong’ono mingi kuhusu umilikiwa wa klabu hiyo na kupokea malalamiko kutoka kwa wazee wa klabu hiyo kutoridhishwa na naamna klabu hiyo itakavyoendeshwa.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget