Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TOTO AFRIKA YAKARIBIA KUMALIZANA NA KANU KUIFUNDISHA KLABU HIYO.



Image result for MUHIBU KANU 
Klabu ya soka ya Toto Afrika ya jijini Mwanza inakaribia kumalizana mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa Stand United Muhibu Kanu kuchukua nafasi ya Ukocha ndani ya klabu hiyo.

Kanu amesema kuwa kwa sasa anawasubiria Toto Afrika kujua wanamipango gani kutokana na kufikia muafaka wa asilimia kubwa kuweza kutua klabuni hapo kuifundisha timu hiyo au kuchukua kitengo cha ukurugenzi wa ufundi wa klabu hiyo.

Amesema mbali na klabu hiyo lakini ametoa mualiko wa klabu zingine za Ligi kuu zinazomuhitaji waweze kupeleka ofa zao.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget