Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLOPP KUINGIA SOKONI JANUARYHII KUTAFUTA MBADALA WA IGGS NA MANE.



Image result for saidio mane 
Imeripotiwa kuwa klabu ya soka ya Liverpool ina mpango wa kutoa kitita cha £20million katika dirisha dogo la January kumsajili nyota wa klabu ya Celtic Moussa Dembele.

Baada ya Danny Ings kuwa majeruhi na Sadio Mane kutokuwepo katika kipindi kijacho atapakorudi barani Afrika kuitumikia timu yake ya Taifa ya Senegal katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kocha mkuu wa klabu hiyo Jurgen Klopp yupo sokoni kwa sasa kutafuta watakoshika mbadala wao.

Klopp ametuma maskauti wake kumchunguza Dembele kwa mara tano zaidi toka atue klabuni hapo na kuonyesha kuwa ni mchezaji sahihi kwa upande wao kuweza kumsajili katika kipindi hiki cha usajili

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget