Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

LANGA BADO AWAUMIZA VICHWA TFF.



Image result for LANGA WA CONGO BRAZZAVILLE 

Shirikisho la soka nchini TFF limesema zoezi la kufuatilia suala la umri wa mchezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Congo Brazzavile LANGA LESSE bado linaendelea.

Mchezaji huyo ambaye anadaiwa kuwa na umri mkubwa, hivi karibuni alishiriki mashindano ya kusaka tiketi ya kushiriki fainali za Afrika za vijana wenye miaka chini ya 17.

Afisa Habari na Mawasiliano wa TFF ALFRED LUCAS amesema suala hilo hawawezi kulizembea kwasababu ni kubwa na lina vitu vingi vya utata ikiwemo kitendo cha mchezaji huyo kuvaa jezi zinye namba tofauti katika kila mechi za kimataifa alizokuwa anacheza.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget