Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

OBLAK SASA KWENYE RADA ZA ARSENAL JANUARY MWAKANI.



Image result for OBLAK 
Klabu ya soka ya Arsenal imeanza kumnyatia mlinda mlango wa klabu ya soka ya Atletico Madrid Jan Oblak kuweza kumsajili kuchukua nafasi ya  Petr Cech’s.

Mchezaji huyo mwenye miaka 23ameonyesha kiwango kizuri katika viunga vya klabu hiyo ya nchini Hispani Vicente Calderon na amekuwa mmoja wa makipa bora zaidi barani Ulaya.

Lakini klabu hiyo imeweka bayana kuwa ipo tayari kupokea ofa ya klabu yoyote itakayojitokeza kumsajili mchezaji huyo huku ikionyesha wazi kuwa klabu ya Arsenal ikifunguliwa milango ya kumtwa mlinda mlango huyo kwa dau la €100million .

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget