Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

PLATINI AKINGIWA KIFUA.




Platini is innocent, insists lawyer 

Mwamasheria wa aliyekuwa Rais wa shirikisho la barani Ulaya Uefa na Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la soka Duniani FIFA Michel Platini's amesema anamatumaini ya kuwa mteja wake huyo aliyesimamisha kushiriki katika soka hajakiuka maadili yoyote ya kula rushwa ndani ya FIFA.

Thibaud d'Ales ambaye ni mwanasheria Platini amesema rais huyo wa Uefa hajajihusisha na Jambo lolote baya ndani Fifa huku akimkingia kifua mteja wake huyo kuwa hanahatia katika mashitaka yanayomkabili.

Platini pamoja na Rais wa Fifa Sepp Blatter wamesimamishwa na kamati ya maadili ya Fifa kwa siku 90 kuanzi mwezi Oktoba kutojihusisha mna masuala ya soka.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget