Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BFT KISIMAMISHA KAMBI YA TIMU YA TAIFA KWA SABABU HII HAPA.



 

Chama cha ngumi za ridhaa nchini Tanzania BFT kimesimamisha kambi ya wachezaji wa timu ya Taifa ya mchezo wa ngumi wakiwa wakiwa na lengo la kuweka mzingira sawa ya maandalizi ya timu hiyo  kwa ajili ya kufuzu mashindano ya Taifa ambayo yanatarajiwa kufanyika February 6 hadi 14 katika viwanja vya kawe jijini Dar es Salaam.


Katibu Mkuu wa BFT Makore Mashaga amesema lengo kubwa la kuvunja kambi hiyo ni la kiufundi zaidi la kutaka kuitengezeneza timu hiyo mazingira bora zaidi kuanzaia wachezaji hata kuwa upande wa vifaa vya kuchezea ili kupata timu bora  kwa ajili ya kushiriki michuano ya Olimpiki inayotarajiwa kufanyika mwezi wa Machi mwaka huu nchini Cameroon.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget