Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SAFARI YA SERENGETI BOYS YAIVA.



Image result for AYOUB NYENZI 

Timu ya soka ya vijana ya Tanzania umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys imeendelea na mazoezi yake hii leo katika uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wake wa mwisho dhidi ya timu ya vijana na ya Congo ya kusaka nafasi ya kushiriki Fainali za vijana zitakazofanyika nchini Madagasca mwaka 2017.

Mwenyekiti wa maendeleo ya soka la Viajana Kutoka TFF Ayoub Nyenzi amesema baada ya kucheza mchezo wao dhidi ya timu ya Afrika ya kusini na kuitoa katika kinyang’anyiro hicho sasa timu hiyo inatarajiwa kuingiia kambi nchini Shelisheli ili kujiweka sawa zaidi na mchezo huo.

Mchezo huo wa Serengeti Boys dhidi ya Coongo unatarajiwa kupigwa Septemba 18 mwaka huu katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget