Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

DR.ADAM KUKALIA KUTI KAVU NDANI YA FIFA.



 
Aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Shirikisho la Soka ulimwenguni FIFA kutoka Nigeria Dr Amos Adam yupo chini ya uchunguzi na kamati ya maadili ya FIFA kutokana na taarifa iliyotolewa hapo jana.

Adam alikuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa miaka minne hadi mwaka 2010 alipozuiwa kushiriki katika maswala yote yanayohusiana na soka kwa muda wa miaka mitatu.

Na alifungiwa kutoka na tuhuma za kuomba fedha ili kupiga kura za uandaaji wa michuano ya kombe la dunia mwaka 2010.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget