Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MAN U YAONDOKA NA POINT MOJA NCHINI URUSI.



 
Manchester United usiku wa kuamka hii leo mambo yalikuwa mazito na kunusuru alama moja wakicheza dhidi ya CSKA Moscow katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.

Bao la Martial dakika ya 65 liliwawewezesha miamba hiyo ya Uingereza kuondoka nchini Urusi kwa ushindi mwembamba wa sare ya bao 1-1 kwenye mechi hiyo.

Seydou Doumbia alikuwa amewapa CSKA uongozi dakika ya 15, akiwa wa kwanza kufikia mpira baada ya kipa wa United David de Gea kutema penalti iliyochapwa na Roman Eremenko baada ya Martial kunawa mpira eneo la hatari.

Red Devils hao sasa wamo nambari mbili Kundi B baada ya Wolfsburg kuilaza PSV Eindhoven na kutua kileleni.

Wapinzani wao wa Jumapili Manchester City walifunga bao la dakika za mwisho na kuandikisha ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla katika mechi yao Ligi ya Klabu Bingwa iliyochezwa pia Jumatano usiku.

Matokeo mengine ya mechi zote za Uefa zilizochezwa Jana ni:

Paris St Germain 0 - 0 Real Madrid
CSKA Moscow 1 - 1 Manchester Utd
Manchester City 2 - 1 Sevilla
Malmö FF 1 - 0 Shaktar Donetsk
VfL Wolfsburg 2 - 0 PSV
Atletico Madrid 4 - 0 FC Astana
Galatasaray 2 - 1 Benfica
Juventus 0 - 0 Borussia Mönchengladb

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget