Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ROONEY KUIVAA EVERTON SIKU YA LEO.



 
Mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney amefaulu vipimo vya afya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Everton siku ya leo.

Nahodha huyo wa United alizikosa mechi za kufuzu michuano ya Euro 2016 dhidi ya Estonia na Lithuania kutokana na majeruhi ya kifundo cha mguu aliyopata katika mchezo waliotandikwa mabao 3-0 na Arsenal kabla ya mapumziko ya mechi za kimataifa.

Hata hivyo, sasa United imethibitisha nyota huyo mwenye umri wa miaka 29 yuko fiti na atakuwepo katika mchezo huo dhidi ya Everton masaa machache kuanzia sasa.


Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget