Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ABRAMOVICH KUMTAKA GUARDIOLA.



 
Boss wa klabu ya soka ya Chelsea  Roman Abramovich anamatumaini makubwa ya kumleta Pep Guardiola Stamford Bridge baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Jose Mourinho  kwa mujibu wa gazeti la Daily Mail.


kocha huyo anayeinoa miamba ya soka nchini Ujerumani klabu ya Buyern Munich mkataba wake unaisha mwakani  na anaweza akatatangazwa kuwa kocha wa Chelsea klabla ya mkataba wake haujaisha.

Kunataarifa kuwa klabu ya Mancherster  City inamyemelea  kocha huyo kuchukua mikoba ya Manuel Pellegrine lakini  Abramovich  aliyemtimua Jose Mourinho  alhamisi iliyopota anahitaji kumchukua kocha ndani ya klabu yake.

Bilionea huyo wa Urusi anajipanga kutumia fedha nyingi kwa ajili ya kuhakikisha kocha huyo mwenye miaka 44 kuahakikisha klabu hiyo inakaa katika ramani zuri tofauti na ilivyo sasa.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget