Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SANCHEZ KUKAA NJE YA DIMBA HADI JANUARY MWAKANI.



Alexis Sanchez Arsenal English Premier League 

Kocha mkuu wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger amesema Mshambuliaji wake Alexis Sanchez atakuwa nje hadi mwezi Januari baada kupata majeraha mapya.


Sanchez alipata majeraha ya mguu mwezi Novemba na alitarajiwa kucheza katika mechi ya Ligi ambayo Arsenal walishinda mabao 2-1 dhidi ya Manchester City, sasa atakuwa nje kwa kipindi chote cha sikukuu ya Krismasi.

Sanchez atarejea Januari 10 jambo ambalo linamlazimu kuzikosa mechi dhidi ya Southampton, Bournemouth, Newcastle na Sunderland.

Lakini kocha wa klabu hiyo amesema walikuwa na mpango wa kumwanzishia benchi dhidi ya Man City lakini alipata maumivu kidogo wakati wa mazoezi siku mbili zilizopita.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget