Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

LIGI KUU KUENDELEA TENA DESEMBA 26.



 

Baada ya kurindimba kwa ligi kuu soka Tanzania bara jumamosi iliyopita sasa ligi hiyo kuendelea tena Desemba 26 mwaka huu kwa michezo 6 kuchezwa katika viwanja tofati tofauti.

Akizungumza na waandishi wa habari Afisa habari wa Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF Baraka Kizuguto amesema ligi hiyo itaendelea tena jumamosi ijayo na siku ya jumapili ya Desemba 27 kwa michezo miwili.

Kizuguto amesema pamoja na kuendelea kwa ligi kuu lakini vile vile ligi daraja la kwanza itaendelea tena kwa mzunguko wa pili Desemba 26 kwa michezo 10 kupigwa katika viwanja tofauti tofauti.

Katika hatua nyingine Kizuguto amesema baada ya kuchezwa kwa michezo hiyo ya ligi kuu na ligi daraja la kwanza lakini kombe la Shirikisho nalo litaendlea ili kumpata bigwa atakaye iwakilisha Tanzania katika michuano ya Afrika Mwaka 2017.

Baada ya kufaika kwa michezo hiyo Desemba 26 ligi itasimama kwa muda kupisha kombe la Mapinduzi hadi January 16 mwakani itakapoanza tena kutimua vumbi lake.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget