Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ARSENAL YADHIHILISHA TAMAA YA KULITAKA KOMBE LA LIGI KUU MSIMU HUU.



 
Klabu ya Arsenal usiku usiku wa kuamkia hii leo imewatandika Manchester City mabao 2-1katika ligi kuu soka nchini Uingereza iliyoendela usiku wa jana.


Wakiwa katika dimba la nyumbani Emirates Stadium klabu ya Arsenal ilitawala saehemu kubwa ya mchezo huo hadi Theo Walcott na Olivier Giroud walipotupia kila mmoja bao moja.

Man City ilipata bao lake la kufutia machozi kupitia kwa kiungo wake Yaya Toure aliyepata bao katika dakika ya 82 ya mchezo lakini Arsenal wakaendelea kupoteza nafasi kadhaa za kufunga.

Pamoja na ushindi huo wa jana lakini Arsenal inaendelea kubaki katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 36 nyumba ya Leicester City yenye pointi 38 katika msimamo wa Ligi Kuu Engaland.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget