Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MAPINGAMIZI YOTE YA USAJILI WA WACHEZAJI WALIO NA MATATIZO NA KLABU ZAO KUPITIWA KESHO.



 

Baada ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili sasa kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji inatarajiwa kuketi siku ya kesho kwaajili ya kupitia mapingamizi ya wachezaji walio na matatizo katika usajili wao.


Afisa habari wa Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF Baraka Kizuguto amesema kamati hiyo itaketi ikiwa na lengo la kupitia mapingamizi yote ambayo wachezaji wwke walikuw na matatizo wakati wa kusajiliwa.

Kizuguto amesema kamati hiyo itaketi katika viunga vya karume jijini Dar es Salaam ili kuahakikisha wanapata muafaka kwa wachezaji walio na matatizo ya klabu zao kwa ujumla.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget