Kama ulikosa kucheki mapicha ya Arsenal wakihangaika kupanda kileleni waliposhinda usiku wa jana mabao 2-0 dhidi ya Bournemouth haya hapa tumekuwekea hapa.
wchezaji wa Arsenal wakishambilia langoni.
Mesut Ozil akifunga bao kati ya mawili ya Arsenal.
winga wa Theo Wallcot Arsenal akiwania mpira na mchezaji mwenzake.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.