Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KWA MARA YA KWANZA TOKA ATIMULIEWE CHELSEA MOURIHO ANENA HAYA



 

Kwa mara ya kwanza toka atimulie siku ya Alhamisi aliyekuwa kocha Mkuu wa Chelsea Jose Mourinho ametoa taarifa yake kuwa ataendela kubaki jijini London na hajaocha au kuagalia mpira.

Katika taarifa yake aliyoitoa alipokuwa Mjini Los Angeles, Mourinho amesema kwa sasa yeye anaangalia mbele kurudi katika kazi yake ya ukocha anafurahia maisha yake.
 
Mourinho amesema ataendelea kubaki jijini London na anatumaini yeye na Familia yake wataendelea kupata fursa hiyo.

Mourinho amesema hawezi kuelezea hali ilivyo hivi sasa lakini anachotaka ni vyombo vya habari kuheshimu maamuzi yake aliyoyatoa.


Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget