Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MAN U LEO TENA CHARII.



 
Klabu ya soka ya Manchester United wameendelea kuwa wateja wa kufungwa na kumaliza siku yao ya Boxing Day vibaya baada ya kula kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa klabu ya Stoke City mbele ya kocha wao Louis van Gaal.


Mabao ya Stoke yalipatikana katika kipindi cha kwanza cha mchezo kupitia kwa wachezaji wake Bojan Krkic aliyepata bao l kwanza katika dakika ya 19 ya mchezo huku Marko Arnautovic akiizamisha Man United katika mto baada ya kupachika bao safi katika dakika ya 26 ya mchezo. 
 
Katika mchezo huo mshambuliaji wa Man United Wayne Rooney alianzia bechi kabla ya kuingia katika kipindi cha pili akichukua nafasi ya Memphis Depay.





Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget