Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

VAN GAAL AANZA KUTOA VISINGIZIO.



Leicester 

Meneja wa mashetani wekundu Manchester United Louis van Gaal ameanza kuleta visingizio baada ya kikosi chake kuonyesha kiwango kibovu baada ya kucheza michezo kadhaa ya Ligi kuu soka nchini Uingereza.


Van Gaal amesema ili klabu yake ifanye vyema katika michezo yake na kuimarika lazima waboreshe uchezaji wao mara moja na kuongeza wachezaji wengine aambao watasaidiana na wachezaji wliopo.

Meneja huyo aliondoka ghafla kwenye kikao cha wanahabari Jumatano baada ya kuwahutubia kwa dakika tano pekee.

United wamecheza mechi sita bila kushinda mechi hata moja, wakichapwa mechi tatu mfululizo, na Van Gaal amesema anapitia kipindi kigumu zaidi Old Trafford.

“Hatuwezi kuficha ukweli huu, kwamba tunapitia kipindi kibaya sana. Mambo lazima yaanze kuimarika mara moja”,Alisema Van Gaal.

Man United kwa sasa wanashika nafasi ya katika msimao wa ligi kuu wakiwa na alama tisa nyuma ya vinara wa ligi hiyo Leicester City.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget