Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BONDIA SADICK MOMBA ACHEZEA KICHAPO NCHINI THAILAND.



                 Bondia Sadick Momba kushoto. 


Bondia wa Tanzania Sadick Momba usiku wa kuamkia hii leo alichezea kichapo kizito kutoka kwa bondia Chonlatarn Piryapinyo raia wa nchini Thailand ndani ya raond  ya 3 tu ya pambano liliopigwa nchini Thailand.

Katibu mkuu wa chama cha Ngumi za kulipwa nchini Tanzania PST Antony Rutta amesema bondia huyo alikula kichapo hicho wakati wa kugombea ubingwa wa WBO Asia pacific super feather weight.

Rutta amesema pamabono hilo lilikuwa ni la kilo 59 na lilikuwa ni la round 12 na lilipigwa katika mji wa Bankconk nchini Thailand.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget