Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

PSG WANATAKIWA WATOE KIASI HIKI CHA FEDHA KUMTWAA NEYMAR BARCELONA.



 
Imeripotiwa kuwa klabu ya Paris Saint-Germain inataka kutoa kiasi cha  €400m kwaajili ya kumpata mshambuliaji wa klabu ya Barcelona Neymar kwa mujibu wa Sport.


Neymar ambaye ni raia wa nchini Brazili bado anamktaba na klabu yake ya Barcelona hadi mwishoni mwa mwaka 2018 na klabu yake ina nia ya kumuongezea mkataba mwingine kuendelea kubaki klabuni hapo hadi mwaka 2021.

Na kama klabu ya PSG inahitaji huduma ya mchezaji huyo itatakiwa kulipa kiasi cha €400m pamoja na kuvunja mkataba wake angalau kwa kulipa  kiasi cha  €190m.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget