Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLOPP ASEMA BILA KUGOMA BASI YEYE NDIO ANGEKUWA CHAGUO LA MAN U.



I could have become Manchester United manager, reveals Klopp 
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Liverpool Jurgen Klopp amesema alikuwa wa kwanza kufatwa kwaajili ya kuifundisha klabu ya Manchester United's lakini aligoma kuiacha klabu yake ya Borussia Dortmund.


Klopp amesema yeye ndiye alikuwa chaguo la kwanza kuwanoa Mashetani wekundu hao baada ya aliyekuwa kocha wao Alex Ferguson kuiacha klabu hiyo lakini yeye mwenyewe aligoma kuiacha klabu yake ya Dortmund.

Kocha huyo mwenye miaka 48 alianza kuifundisha klabu ya Liverpool kwa mara ya kwanza baaada ya kuchukua mikoba ya Brendan Rodgers mwezi October mwaka jana.

Klopp amesema alipata ofa nyingi za kuondoka nchini Germany lakini mwenyewe alikua anahitaji kuendelea kubaki katika klabu yake ya Dortmund, na katika ofa hizo klabu ya United ilikuwa klabu ya kwanza kumuhitaji mwezi April mwaka 2013 baada ya kocha wao Sir Alex Ferguson kubwaga manyanga.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget