Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SIMBA YAANZA KWA MBWEMBWE LIGI KUU.



 
Klabu ya soka ya Simba hii leo imeenza vizuri ligi baaada ya kupata pointi 3 muhimu ilipokutana na wapinzani wao klabu ya soka ya Mtibwa Sager mchezo ulioigwa katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dae es Salaam.

Mshambuliaji Hamisi Kiiza ‘Diego’ aliipa klabu Simba SC matumaini ya kushinda baada ya kufunga bao safi katika dakika ya 5 ya mchezo akimalizia mpira uliopigwa na Ibrahim Hajib kutoka upande wa kushoto.

Simba SC sasa inafikisha pointi 30 baada ya kucheza mechi 14, ikiendelea kukaa nafasi ya tatu nyuma ya Yanga SC yenye pointi 32 ikisubili mchezo wake wakesho dhidi ya Ndanda huku  vinara, Azam FC ikiwa na pointi 35 ikisubiri mchezo wake wa baadae hii leo.

Mtibwa Sugar walionyesha upinzani kwa Simba SC na dakika ya 11, kiungo Shiza Kichuya alipoteza nafasi ya wazi baada ya shuti lake kuokolewa na kipa Vincent Angban, raia wa Ivory Coast.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget