Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

CHAMA CHA RIADHA TANZANIA KUANDAA MASHINDONO YA VIJANA KWA UKANDA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI.



 

Chama cha mchezo wa riadha nchini Tanzania RT kimeanza maandalizi ya kuandaa mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na kati kwa upande wa timu za vijana umri miaka 19 yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam huku nchini ya Tanzania ikiwa mwenyeji wa mashindano hayo.

Katibu Mkuu wa RT Ombeni Zavalla amesema maandalizi ya kuelekea katika mashindano hayo yanaendelea vizuri na mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi lake April 22 hadi 23 na wanaitaji kuiboresha zaidi timu hiyo ya vijana kwa kuandaa maandalizi ya hali ya juu ili kubakisha kombe hilo nchini.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget