Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

VAN GAAL HAIPA TANO KLABU YA MAN CITY KUMCHUKUA NAHODHA WAKE WA ZAMANI PEP GUARDIOLA.



 

KOCHA wa Manchester United Louis van Gaal ameipongeza klabu ya Manchester City kwa kumteua Pep Guardiola kuinoa timu hiyo msimu ujao.


Akihojiwa mara baada ya ushindi wa mabao 3-0 waliopata dhidi ya Stoke City usiku wa kuamkia hii leo, Van Gaal amesema Guardiola ni nahodha wake wa zamani hivyo atafurahi kukutana naye tena.

Van Gaal alikuwa meneja wa Guardiola wakati akiwa Barcelona na ndio alimpa unahodha kiungo huyo wa zamani Camp Nou.

Guardiola raia wa Hispania toka wakati huo amekuwa akifuata nyayo za bosi wake huyo wa zamani akiwa kama meneja na ufurahia mafanikio makubwa wakati akizifundisha Barcelona na Bayern Munich.


Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget