Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

LIVERPOOL KUMUWINDA MLINDA MLANGO HUYU WA BARCELONA.



 
Kunatetesi kuwa klabu ya soka ya Liverpool inajipanga kuhamishia nguvu za kumuwania mlinda mlango wa klabu ya soka Barcelona Marc-Andre ter Stegen katika kipindi cha usajili January mwakani.

Liverpool inamatatizo katika nafasi ya mlinda mlango hivyo majira ya usajili inajipanga kumuwania.

Marc Ter Stegen yeye mwenyewe imeuwa ni vigumu kwa sasa kupata nambna katika kkosi cha kwanza cha Barca kutokana na kuwepo kwa Claudio Bravo akisimama kama chaguo la kwanza.

Kocha Mkuu wa klabu hiyo Jurgen Klopp ameshamuona mlinda mlango namba 2 wa Adam Bogdan kushuka kwa kiwango chake baada ya kukubali kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Watford jumapili iliopita.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget